[verse 1] ah roho ingekua na macho ungejionea moyo haufanyi kificho ukigotea mimi kipi nisonacho ungeongea mwili wangu rochorocho nanyong'onyea chungu nilichopika wamepakua wenzangu huruma napukutishwa wamechukua tonge langu na kitabu chetu cha mapenzi kurasa umeichanachana hazisomeki tena tenzi zimepoteza maana
[bridge] mpofu moyo wangu ulishindwa ona hukuandikwa wakwangu limenikaba nalitema
[chorus] kwaru kwakwaru kwaru kachukua kisoda ana ukwangua kwaru kwakwaru kwaru moyo wangu unaumia kwaru kwakwaru kwaru ah! ye kwa nguvu ana ukwarua kwaru kwakwaru kwaru jamani moyo wangu unaumia
[verse2] eh langu tatizo nachunda najimaliza mi nakesha kumuwaza naweweseka lake jina (ooh jina) oh! basi kwa unyonge najikaza niache kulia mana kwake bahati sina (ooh sina) maumivu ameipora furaha yangu ooh amekwenda nayo na zangu mbivu zimeniozea mmh hasara kwangu oooh oh! yatajwisha nayoo
[bridge] mpofu moyo wangu ulishindwa ona hukuandikwa wakwangu limenikaba nalitema
[chorus] kwaru kwakwaru kwaru kachukua kisoda ana ukwangua kwaru kwakwaru kwaru moyo wangu unaumia kwaru kwakwaru kwaru ah! ye kwa nguvu ana ukwarua kwaru kwakwaru kwaru jamani moyo wangu unaumiaTeksty umieszczone na naszej stronie są własnością wytwórni, wykonawców, osób mających do nich prawa.