aaaanh aanh naah aaaah marhaba marhaba habibi tunda komamanga la kupachua ooooh mahaba mahaba yanzidi kindimu changa chakuchachua mmmmnh tamu zaituni tunda la peponi nalila (nalila) gamu ya sakafuni tunadundishana kipira (kipira) napewa penzi sabuni linalontakasa madhira huniita hunnie haiyuni mkali wa tatu bila (bila) upepo wa pwani umenipeleka bara niongoze usukani kwenye penzi barabara wakati wako tamba ashua eenh ashua shuuu ashua ok baby jishongondoe ashua eenh ashua shuu(eenh)ashua na roho zao ziwaume ashua ashua shuu ashuaa lolololoooh ashua ashua shuu(eenh) ashua (eenh) tuwachome mapakashume oooohooooh ooooh kweli mambo mazuri hayataki haraka ooh haraka oohooh mmmnnh kwa dua nimesubiri nimepewa nilichotaka ooh nilichotaka oohooh mmmnh penzi ninalinogesha (noga) nampa mchicha ale (noga) vinono vya kunenepesha (noga) sambusa ya nyama tele (noga) kisha namchangamsha (noga) namchezea segere (noga) mwali kujinengemusha (noga) huku napiga kelele aanh aanh anh upepo wa pwani umenipeleka bara wewe wangu usukani kwenye penzi barabara wakati wako tamba ashua iiiiih ashua shuu ashuaa ok baby jishongondoe ashua eenh ashua shuu (eenh) ashuaa na roho zao ziwaume roho zao ziwaumeee lolololoooh ashua eenh ashua shuu wakikuuliza mbona huonekani tunacheza solo na zumari ndani eenh kuingiza kete shimoni tunacheza solo na zumari ndani na kwa malovie dovie tunacheza solo na zumari ndani michezo ya karata kulambishwa mavi tunacheza solo na zumari ndani tamu zaituni tunda la peponi nalila (nalila) gamu ya sakafuni tunadundishana kipira (kipira) napewa penzi sabuni linalontakasa madhira huniita hunnie haiyuni mkali wa tatu bila (bila) upepo wa pwani umenipeleka bara niongoze usukani kwenye penzi barabara wakati wako tamba ashua eenh ashua shuuu ashua ok baby jishongondoe ashua eenh ashua shuu(eenh)ashua na roho zao ziwaume ashua ashua shuu ashuaa lolololoooh ashua ashua shuu(eenh) ashua (eenh) tuwachome mapakashume oooohooooh ooooh kweli mambo mazuri hayataki haraka ooh haraka oohooh mmmnnh kwa dua nimesubiri nimepewa nilichotaka ooh nilichotaka oohooh mmmnh penzi ninalinogesha (noga) nampa mchicha ale (noga) vinono vya kunenepesha (noga) sambusa ya nyama tele (noga) kisha namchangamsha (noga) namchezea segere (noga) mwali kujinengemusha (noga) huku napiga kelele aanh aanh anh upepo wa pwani umenipeleka bara wewe wangu usukani kwenye penzi barabara wakati wako tamba ashua iiiiih ashua shuu ashuaa ok baby jishongondoe ashua eenh ashua shuu (eenh) ashuaa na roho zao ziwaume roho zao ziwaumeee lolololoooh ashua eenh ashua shuu wakikuuliza mbona huonekani tunacheza solo na zumari ndani eenh kuingiza kete shimoni tunacheza solo na zumari ndani na kwa malovie dovie tunacheza solo na zumari ndani michezo ya karata kulambishwa mavi tunacheza solo na zumari ndaniTeksty umieszczone na naszej stronie są własnością wytwórni, wykonawców, osób mających do nich prawa.